Ratiba ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA yatoka, ipo hapa

Baada ya michezo ya mwisho kuchezwa Jumatano na kupatikana timu nane ambazo zitaingia katika hatua ya robo fainali ya kombe hilo hatimaye leo ratiba imetoka.

Baada ya kuchezeshwa droo, ratiba ya kombe hilo ni;

Wolfsburg – Real Madrid

Bayern Munich – Benfica

Barcelona – Atletico Madrid

PSG – Manchester City

Baada ya ratiba hiyo, michezo ya hatua ya robo fainali itaanza kuchezwa April, 5.

SHARE.

0 comments:

Post a Comment